Uncategorized

EMERY APANGA KUIBOMOA BARCELONA

LONDON, Uingereza KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, anaitaka saini ya beki wa Barcelona, Alejandro Balde, na amewaambia mabosi wake waandae kitita cha Pauni milioni 43. Beki huyo wa kushoto amewahi...

BAYERN YAMKODOLEA MACHO KIUNGO WA TOTTENHAM

LONDON, Uingereza BAYERN Munich inampigia hesabu za karibu kiungo wa Tottenham na timu ya Taifa ya Senegal, Pape Matar...

RIPOTI: IDADI YA WAHAMIAJI ULAYA IMEVUNJA REKODI, UJERUMANI INAONGOZA

LONDON, UingerezaRIPOTI mpya imeonesha kuwa Ulaya nchi za Ulaya zlipokea wahamiaji milioni 64 mwaka 2025, likiwa ni ongezeko...

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...
spot_img

MBOWE ATOKA HOSPITALINI

MACHI 6, 2018MboweMOSHI MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana usiku aliruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa akitibiwa na kurejea nyumbani.Mbowe alilazwa katika...

MAHAKAMA YATUPA OMBI LA HOSPITALI YA KAIRUKI

MACHI 6, 2018DAR ES SALAAM Ombi lililowasilishwa na Hospitali ya Kairuki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa kesi ya madai inayoikabili isikilizwe kwa siri...

MILIONI 18 ZAMLIZA MBUNGE WA CCM

MACHI 5, 2018Mbunge TweveIRINGA Mbunge wa Viti Maalumu wa Mkoa wa Iringa, Rose Tweve, leo amelia machozi hadharani baada ya kupewa shuilingi milioni 18 kwa...

Nusu kaputi = Nusu kuua

MACHI 5, 2018Dk. MpokiDAR ES SALAAMManeno nusu kaputi yanalotumiwa na watalaamu wa dawa za usingizi yanamaanisha kumuua mtu nusu na nusu nyingine anabaki akiwa...

111 AKIWAMO DIWANI WAPUKUTIKA CHADEMA

Gervas Mwakyusa muda mfupi baada ya kusajili wa CCM akitokea Chadema  MACHI 4, 2018Wanachama 110 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekihama chama hicho...

ZITTO ZIARANI TABORA

MACHI 4, 2018ZIARA YA KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT – WAZALENDO KATIKA KATA YA USINGE, WILAYA YA KALIUA MKOANI TABORA
spot_img