BANDARI ZA TANZANIA JUU YA USO WA DUNIA
MAKALA MAALUMU USHINDANI wa sasa wa Bandari za Tanzania kikanda na kimataifa umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji. Bandari za Tanzania sasa…
Mkusanyiko wa habari
MAKALA MAALUMU USHINDANI wa sasa wa Bandari za Tanzania kikanda na kimataifa umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji. Bandari za Tanzania sasa…
MAKALA YA MTANGAZAJI KAMA kuna jambo linaloonesha maendeleo kwa macho na kuguswa moja kwa moja na maisha ya wananchi, basi ni pale unaposhuhudia majengo mapya yakisimama mjini na…
MAKALA YA MTANGAZAJI UFINYU wa Bajeti, uingizwaji wa mifugo kwenye Hifadhi za Taifa kinyumwe cha sheria, mabadiliko ya tabianchi, kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo na…
RIPOTI MAALUMU (5) CHARLES MULLINDA TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, wakati ikichunguza tuhuma za Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti za matumizi mabaya…
RIPOTI MAALUMU (4) CHARLES MULLINDA MASHAHIDI 12 waliohojiwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iliyochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya Naibu Waziri…
RIPOTI MAALUMU (3) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti, akiwa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Manyara aliunda kamati ya kuchunguza ujangili kwenye kitalu kinachomilikiwa…
RIPOTI MAALUMU (2) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ni mtovu wa maadili, anakiuka haki za binadamu na utawala bora na mvunja Katiba ya…
RIPOTA PANORAMA SAKATA la tuhuma za kuwepo mikopo chefuchefu linalohusisha baadhi ya wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, kampuni zao, benki, mawakili na watumishi wa mahakama limezungumziwa na wasomi na…
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ni Taasisi ya Serikali iliyokasimiwa wajibu wa kusimamia utendaji na uendeshaji wa shughuli za bandari za mwambao na za maziwa makuu…
MVUA za El Nino zinazoendelea kunyesha nchini; na ambazo hazijapata kunyesha kwenye Hifahi ya Taifa ya Serengeti kwa takriban miaka 64, zimeitepetesha na kusababisha uharibifu wa miundombinu ya…