Friday, 21 August 2026

Mkusanyiko wa habari

RIPOTI MAALUM

BANDARI ZA TANZANIA JUU YA USO WA DUNIA

MAKALA MAALUMU USHINDANI wa sasa wa Bandari za Tanzania kikanda na kimataifa umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji. Bandari za Tanzania sasa…

CHANGAMOTO 5 ZILIZOTIKISA TANAPA 2023/2024

MAKALA YA MTANGAZAJI UFINYU wa Bajeti, uingizwaji wa mifugo kwenye Hifadhi za Taifa kinyumwe cha sheria, mabadiliko ya tabianchi, kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo na…

NAIBU WAZIRI MNYETI ALIVYOKAANGWA TUME YA HAKI ZA BINADAMU

RIPOTI MAALUMU (5) CHARLES MULLINDA TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, wakati ikichunguza tuhuma za Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti za matumizi mabaya…

NAIBU WAZIRI MNYETI AKUTWA HANA MAADILI NA MVUNJA KATIBA

RIPOTI MAALUMU (2) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ni mtovu wa maadili, anakiuka haki za binadamu na utawala bora na mvunja Katiba ya…

TUHUMA MIKOPO CHECHEFU ZACHAMBULIWA (1)

RIPOTA PANORAMA SAKATA la tuhuma za kuwepo mikopo chefuchefu linalohusisha baadhi ya wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, kampuni zao, benki, mawakili na watumishi wa mahakama limezungumziwa na wasomi na…

MAJIBU YA TPA KWA BAJETI 2022/23 NA ILANI YA CCM 2020/2025

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ni Taasisi ya Serikali iliyokasimiwa wajibu wa kusimamia utendaji na uendeshaji wa shughuli za bandari za mwambao na za maziwa makuu…