RIPOTI MAALUM

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

BANDARI ZA TANZANIA JUU YA USO WA DUNIA

MAKALA MAALUMU USHINDANI wa sasa wa Bandari za Tanzania kikanda na kimataifa umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji. Bandari za...

NHC YAMWAGIA VITOFALI TAIFA – MIRADI YAPAA KAMA MOTO WA JANGWANI

MAKALA YA MTANGAZAJI KAMA kuna jambo linaloonesha maendeleo kwa macho na kuguswa moja kwa moja na maisha ya wananchi, basi ni pale unaposhuhudia majengo mapya...

CHANGAMOTO 5 ZILIZOTIKISA TANAPA 2023/2024

MAKALA YA MTANGAZAJI UFINYU wa Bajeti, uingizwaji wa mifugo kwenye Hifadhi za Taifa kinyumwe cha sheria, mabadiliko ya tabianchi, kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi...

NAIBU WAZIRI MNYETI ALIVYOKAANGWA TUME YA HAKI ZA BINADAMU

RIPOTI MAALUMU (5) CHARLES MULLINDA TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, wakati ikichunguza tuhuma za Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti za...

USHAHIDI TUHUMA ZA NAIBU WAZIRI MNYETI KIELELEZO KINACHOISHI

RIPOTI MAALUMU (4) CHARLES MULLINDA MASHAHIDI 12 waliohojiwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iliyochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya...

TISS, POLISI, TAKUKURU, TRA, DPP WATAJWA SAKATA LA N/ WAZIRI MNYETI

RIPOTI MAALUMU (3) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti, akiwa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Manyara aliunda kamati ya kuchunguza ujangili kwenye...
spot_img