RAIS SAMIA KUZINDUA MRADI WA JNHPP AGOSTI 22
RIPOTA PANORAMA RAIS Samia Suluhu Hassana anatarajiwa kuzindua bwawa la kuzalisha umeme wa megawati 2,115 lililopo Rufuji, Mkoa wa Pwani, Agosti 22, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari…
Mkusanyiko wa habari
RIPOTA PANORAMA RAIS Samia Suluhu Hassana anatarajiwa kuzindua bwawa la kuzalisha umeme wa megawati 2,115 lililopo Rufuji, Mkoa wa Pwani, Agosti 22, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari…
Ofisi ya Waziri Mkuu WAZIRI Mkuu, Mwigulu Nchemba amerejesha tabasamu lililotoweka miaka 17 iliyopita kwa watu watano waliokuwa wakigombea umiliki wa viwanja namba 2013 na 2014 vilivyopo kitalu…
RIPOTA PANORAMA Zanzibar WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema usambazaji teknolojia ya nishati safi ya kupikia, unapaswa kwenda sambamba na mabadiliko ya mila, desturi na mitazamo inayochangia kuzorotesha juhudi…
RIPOTA PANORAMA NAIBU Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu ya Namibia ambaye pia ni Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu na Petrus Tileinge Damaseb wa Namibia na Jaji wa…
RIPOTA MAALUMU TANZANIA na Algeria zimekubaliana kuimarisha sekta ya kilimo nchini kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuongeza tija na kuendeleza wakulima wadogo kupitia uzalishaji na biashara endelevu…
RIPOTA MAALUMU KITUO cha Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Seliani kilichopo mkoani Arusha kimehimizwa kufanya tafiti za mbegu bora kwa viwango vinavyokidhi mahitaji ya wakulima na soko sambamba…
SCOLA MALINGA NA JOSEPH MAHUMI, WF-Dar es Salaam TANZANIA itakuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra for Africa…
Moto mkubwa umezuka katika jengo la kuhifadhia viatu lililopo ndani ya eneo la zamani la kiwanda cha Bata mjini Zlín, nchini Jamhuri ya Czech, na kusababisha uharibifu mkubwa…
Kijana mmoja raia wa Afrika Kusini amepata majeraha mwilini baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akidaiwa kujaribu kuiba kebo ya umeme iliyokuwa na mkondo wa umeme.…
Mwanaharakati wa kijamii nchini Afrika Kusini, Thato Molosankwe, ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake katika eneo Lomanyaneng alfajiri ya tarehe 20 Mei 2026. Taarifa za awali zinaeleza kuwa…