Uncategorized

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...

VIONGOZI LONGIDO WATAKIWA KUHARAKISHA UANZISHAJI WA JUHIZINA

Viongozi wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wametakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa mchakato wa kuanzisha...
spot_img

SITA MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI JIJINI ARUSHA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya askari polisi, Roland Mollel, yaliyotokea usiku wa Aprili 15 katika...

‘INJINIA’ HERSI SAID BALOZI WA KISWAHILI

BODI  ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), imemteua Rais wa Klabu ya Yanga SC Mhandisi Hersi Said kuwa balozi wa Kiswahili ndani na nje...

NANI KOCHA MPYA WA MADRID MSIMU UJAO?

MADRID, Hispania ALVARO Arbeloa analiongoza benchi la ufundi la Real Madrid hadi mwishoni mwa msimu huu, kisha atakabidhi mikoba kwa kocha mpya.  Arbeloa aliajiriwa Januari, 2026...

HOSPITALI YA RUFAA YA MOUNT MERU YAZINDUA HUDUMA YA TIBA KEMIKALI KWA MATIBABU YA SARATANI

Historia imeandikwa katika Hospitali ya Mt. Meru ambapo huduma ya Tiba Kemikali (Chemotherapy) imezinduliwa rasmi katika hospitali hiyo. Uzinduzi huo umefanywa na Katibu Tawala wa...

WAARABU WAMGOMBEA MO SALAH

KLABU tajiri za Ligi Kuu ya Saudi Arabia zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya mshambuliaji anayejiandaa kuondoka Liverpool, Mohamed Salah. Mtandao wa TEAMTalk umeripoti kuwa tayari...

MEYA MAXMILIAN IRANQHE AKUTANA NA WADAU WA USAFI JIJINI ARUSHA

Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maxmillian Iranqhe, amefanya kikao kazi kilichowakutanisha Maafisa Afya kutoka kata zote 25, wakandarasi wa huduma ya uzoaji taka...
spot_img