HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.
Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...
MADRID, Hispania
ALVARO Arbeloa analiongoza benchi la ufundi la Real Madrid hadi mwishoni mwa msimu huu, kisha atakabidhi mikoba kwa kocha mpya.
Arbeloa aliajiriwa Januari, 2026...
Historia imeandikwa katika Hospitali ya Mt. Meru ambapo huduma ya Tiba Kemikali (Chemotherapy) imezinduliwa rasmi katika hospitali hiyo.
Uzinduzi huo umefanywa na Katibu Tawala wa...
KLABU tajiri za Ligi Kuu ya Saudi Arabia zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya mshambuliaji anayejiandaa kuondoka Liverpool, Mohamed Salah.
Mtandao wa TEAMTalk umeripoti kuwa tayari...
Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maxmillian Iranqhe, amefanya kikao kazi kilichowakutanisha Maafisa Afya kutoka kata zote 25, wakandarasi wa huduma ya uzoaji taka...