Uncategorized

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

DAVID AMEGNAGLO ATAMBULISHWA RASMI KVC WESTERLO

Klabu ya KVC Westerlo imemtambulisha rasmi David Amegnaglo kama mchezaji wake mpya kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Katika ujumbe huo,...

MAREKANI NA IRAN ZAREJEA TENA KWENYE MAPIGANO

‎Mvutano kati ya Marekani na Iran umeingia katika hatua nyingine baada ya Marekani kutekeleza mashambulizi ambayo imesema yamelenga maeneo muhimu yanayohusishwa na Iran. Hatua...

RC IRINGA ATOA ONYO KWA WANAOCHELEWESHA MIRADI YA MAENDELEO

https://youtu.be/5b7aZvRE9qg Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James,ametaka hatua zichukuliwe dhidi ya wote watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa miradi iliyokwisha kupatiwa fedha na Serikali. James ametoa kauli...

BUNGE LA MAREKANI LAPITISHA AZIMIO LA KUMZUIA TRUMP KUPANUA VITA DHIDI YA IRAN

Bunge la Wawakilishi la Marekani limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais wa Marekani, Donald Trump, kuchukua hatua zaidi za kijeshi dhidi ya Iran, katika ishara...

ISRAEL NA HIZBULLAH ZAENDELEA KUSHAMBULIANA

Mapigano kati ya Israel na Hizbullah yameendelea kushika kasi huku wajumbe kutoka Israel na Lebanon wakikutana mjini Washington, Marekani, kwa duru ya nne ya...

SEQUIP YAWAJENGEA UWEZO WALIMU KATIKA MATUMIZI YA MBINU BORA ZA UFUNDISHAJI KILIMANJARO

Mradi wa Kuimarisha Ubora wa Elimu ya Sekondari nchini (SEQUIP) umeendelea kuwajengea uwezo walimu katika matumizi ya mbinu bora za ufundishaji, hatua inayolenga kuinua...
spot_img