Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
Klabu ya KVC Westerlo imemtambulisha rasmi David Amegnaglo kama mchezaji wake mpya kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Katika ujumbe huo,...
Mvutano kati ya Marekani na Iran umeingia katika hatua nyingine baada ya Marekani kutekeleza mashambulizi ambayo imesema yamelenga maeneo muhimu yanayohusishwa na Iran. Hatua...
https://youtu.be/5b7aZvRE9qg
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James,ametaka hatua zichukuliwe dhidi ya wote watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa miradi iliyokwisha kupatiwa fedha na Serikali.
James ametoa kauli...
Bunge la Wawakilishi la Marekani limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais wa Marekani, Donald Trump, kuchukua hatua zaidi za kijeshi dhidi ya Iran, katika ishara...
Mapigano kati ya Israel na Hizbullah yameendelea kushika kasi huku wajumbe kutoka Israel na Lebanon wakikutana mjini Washington, Marekani, kwa duru ya nne ya...
Mradi wa Kuimarisha Ubora wa Elimu ya Sekondari nchini (SEQUIP) umeendelea kuwajengea uwezo walimu katika matumizi ya mbinu bora za ufundishaji, hatua inayolenga kuinua...