Thursday, 20 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Category: Uncategorized

UGANDA YAZIDI KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA UFISADI SHULENI

Waziri wa Serikali za Mitaa nchini Uganda, Balaam Barugahara, ameagiza kukamatwa kwa mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Naiku iliyopo Wilaya ya Mbale, baada ya ukaguzi kubaini tofauti…

DAVID AMEGNAGLO ATAMBULISHWA RASMI KVC WESTERLO

Klabu ya KVC Westerlo imemtambulisha rasmi David Amegnaglo kama mchezaji wake mpya kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Katika ujumbe huo, klabu hiyo iliwakaribisha…

MAREKANI NA IRAN ZAREJEA TENA KWENYE MAPIGANO

‎Mvutano kati ya Marekani na Iran umeingia katika hatua nyingine baada ya Marekani kutekeleza mashambulizi ambayo imesema yamelenga maeneo muhimu yanayohusishwa na Iran. Hatua hii imevunja hali ya…

RC IRINGA ATOA ONYO KWA WANAOCHELEWESHA MIRADI YA MAENDELEO

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James,ametaka hatua zichukuliwe dhidi ya wote watakaobainika kusababisha ucheleweshaji wa miradi iliyokwisha kupatiwa fedha na Serikali. James ametoa kauli hiyo Juni 25,2026,…

ISRAEL NA HIZBULLAH ZAENDELEA KUSHAMBULIANA

Mapigano kati ya Israel na Hizbullah yameendelea kushika kasi huku wajumbe kutoka Israel na Lebanon wakikutana mjini Washington, Marekani, kwa duru ya nne ya mazungumzo ya moja kwa…

MEGAN AACHANA NA MPENZI WAKE KISA ‘KUCHEPUKA’

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina kubwa katika soko la muziki wa Hip hop nchini Marekani, Megan thee stallion, ametangaza kuachana na mpenzi wake, Klay Alexander Thompson. Megan…

SITA MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI JIJINI ARUSHA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya askari polisi, Roland Mollel, yaliyotokea usiku wa Aprili 15 katika eneo la Mlimani, Kata…

‘INJINIA’ HERSI SAID BALOZI WA KISWAHILI

BODI  ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), imemteua Rais wa Klabu ya Yanga SC Mhandisi Hersi Said kuwa balozi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.…