Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini, imefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa kurekebisha...
Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika kukabiliana na dharura za afya ya...
Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa Julai 3, 2026 na kuharibu maduka...
Kijiji cha Sango, kilichopo Kata ya Kimochi, Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, imezinduliwa rasmi katika mwendelezo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026.
Uzinduzi huo...
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amepongeza kiwango kikubwa cha ushiriki wa Watanzania katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki...
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa baruti uliotokea leo alfajiri Julai 1, 2026 kwenye kibanda cha kuuzia kahawa kilichopo...