Mikito

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

Ndani Giza Nje Mimba

SIMBA GEMBAGU NG’WANA NJAMITI KILA nikikita ninakitwa. Popote ninapokita napokewa na mikito. Napokewa na mikito halisi ya kitanzania inayonikita. Ninakita ili nijikite lakini sijikiti badala yake...

ANAKITWA ANAKITA KUJIKITA MZEE MIKITO

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti KUKITWA ni kukitwa na kukita ni kukita. Kukita na kukitwa sasa ni fasheni, mikito imekuwa sehemu ya maisha. Imekuwa kita nikukite, umekuwa...

NI MIKITO YA KASWIDA NA MAPAMBIO

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti MIKITO ni kukita na kukita ni kukitwa. Huo ndiyo mwenendo wetu watanzania wa zama hizi za bora liende. Kila mahali ni mikito,...

WANAKITA KIZULU, NINAKITA KISWANGLISH

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti NIMEKUTANA wa Wazulu, nimekutana nao nchini kwao huku bondeni kwa mzee Madiba. Lakini mzee Madiba anaumwa sana, tumuombee. Wazulu, kama walivyo waafrika...

NAPE ANAMKITA WARIOBA KUMBEMBELEZA KIKWETE

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti NAPE Moses Nnauye, mwanasiasa kijana aliyepachikwa jina la utani la Kitatange, katika ukitatange wake amekuwa akimkita kwa staili wa kumbembeleza bosi...
spot_img