Habari Kimataifa

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku kucha, likilenga maeneo muhimu ndani ya...

TRAOLE AIBUKA KIVINGINE DHIDI YA UN, ASIMAMISHA SHUGHULI KWA MUDA

Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa utafunga rasmi Ofisi yake ya Haki za Binadamu nchini Burkina Faso baada ya utawala wa kijeshi kusimamisha kwa...

MOTO MKUBWA WATEKETEZA MAENEO YA KUSINI MWA UFARANSA

Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kusambaa kusini mwa France umesababisha takriban watu 3,000 kuhama kutoka makazi yao, huku mamlaka zikionya kuhusu kuanza mapema kwa...

MAMBA AVISHWA GAUNI LA HARUSI, AOLEWA NA MEYA

Meya wa mji wa San Pedro Huamelula, ulioko jimbo la Oaxaca nchini Mexico, amefunga ndoa ya kimila na mamba jike aina ya caiman katika...

RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA AFANYA ZIARA YA KIKAZI DRC

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amewasili mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kwa ziara fupi ya kikazi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa...

NANE MBARONI KWA KUCHOMA BWENI

Mahakama nchini Kenya imewafikisha mahakamani wanafunzi wanane wa kike kwa tuhuma za kuhusika na moto ulioteketeza bweni la shule na kusababisha vifo vya wanafunzi...
spot_img