Friday, 21 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Habari Kimataifa

MOTO MKUBWA WATEKETEZA GHALA LA VIATU NCHINI CZECH

Moto mkubwa umezuka katika jengo la kuhifadhia viatu lililopo ndani ya eneo la zamani la kiwanda cha Bata mjini Zlín, nchini Jamhuri ya Czech, na kusababisha uharibifu mkubwa…

ABABUKA NGOZI MWILI MZIMA AKIWA ANAIBA KEBO YA UMEME

Kijana mmoja raia wa Afrika Kusini amepata majeraha mwilini baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akidaiwa kujaribu kuiba kebo ya umeme iliyokuwa na mkondo wa umeme.…

MWANAHARAKATI AUAWA AFRIKA KUSINI

Mwanaharakati wa kijamii nchini Afrika Kusini, Thato Molosankwe, ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake katika eneo Lomanyaneng alfajiri ya tarehe 20 Mei 2026. Taarifa za awali zinaeleza kuwa…

URUSI WAANDIKA HISTORIA KWA HARUSI YA ROBOTI

Urusi imevuta hisia za dunia baada ya kuandaa sherehe ya mfano ya harusi kati ya roboti wawili wenye umbo la binadamu (humanoid robots), tukio lililofanyika jijini Moscow katika…

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku kucha, likilenga maeneo muhimu ndani ya Urusi, yakiwemo mji wa…

MOTO MKUBWA WATEKETEZA MAENEO YA KUSINI MWA UFARANSA

Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kusambaa kusini mwa France umesababisha takriban watu 3,000 kuhama kutoka makazi yao, huku mamlaka zikionya kuhusu kuanza mapema kwa msimu wa moto kutokana…

MAMBA AVISHWA GAUNI LA HARUSI, AOLEWA NA MEYA

Meya wa mji wa San Pedro Huamelula, ulioko jimbo la Oaxaca nchini Mexico, amefunga ndoa ya kimila na mamba jike aina ya caiman katika sherehe ya jadi inayofanyika…

RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA AFANYA ZIARA YA KIKAZI DRC

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amewasili mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kwa ziara fupi ya kikazi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika maandalizi, kinga…

NANE MBARONI KWA KUCHOMA BWENI

Mahakama nchini Kenya imewafikisha mahakamani wanafunzi wanane wa kike kwa tuhuma za kuhusika na moto ulioteketeza bweni la shule na kusababisha vifo vya wanafunzi wenzao 16 katika Shule…