MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
Washington, Marekani
Rais wa zamani wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa ufafanuzi kufuatia picha aliyochapisha katika mtandao wake wa TRUTH, ambayo imezua mjadala mkubwa miongoni...
LAGOS, Nigeria
VIDEO iliyosambaa katika mitandao ya kijamii imemuonesha kijana aliyetajwa kuwa ni mwanafunzi akiomba kuokolewa, huku watekaji wakishinikiza walipwe kwanza Naira milioni 30 (zaidi...
WASHINGTON DC, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibuka na kauli kali dhidi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, baada ya Papa...