Makala Kimataifa

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

MLANGO-BAHARI WA HORMUZ UNAVYOITESA DUNIA

TEHRAN, Iran MGOGORO unaoendelea kati ya Iran na Marekani katika Mlango-Bahari wa Hormuz umetikisa uchumi wa dunia. Kila nchi, zikiwamo za Afrika, inapitia maumivu ya...

MWAKA MMOJA WA PAPA LEO AKIIONGOZA VATICAN

WASHINGTON DC, Marekani UMETIMIA mwaka mmoja tangu Papa Leo XIV alipochaguliwa kuliongoza Kanisa Katoliki duniani. Aliingia madarakani Mei 8, 2025. Hata hivyo, kwa miezi 12 aliyokaa...

PANYA, NGUCHIRO WANAVYOTESA RAIA WA PALESTINA UKANDA WA GAZA

JERUSALEM, Palestina NI katika kambi za raia wa Palestina wanaoishi kwenye mahema baada ya makazi yao kusambaratishwa na mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza. Mbali...

MAPACHA WALIOZALIWA NA MAMA MMOJA LAKINI BABA TOFAUTI

LONDON, Uingereza MICHELLE na Lavinia Osbourne walipishana dakika chache tu kuzaliwa kwao. Ni mapacha waliotokana na mama mmoja lakini baba tofauti. Si ajabu. Kitaalamu, hiyo inawezekana...

USIYOYAJUA KUHUSU MZOZO WA CHINA, TAIWAN

TAIPEI, Taiwan CHINA na Taiwan ziko jirani, zikitenganishwa na Mlango-Bahari tu. Kwa miaka mingi sasa, pande mbili hizo zimekuwa kwenye mgogoro wa kisiasa unaotishia kuziingiza...

SIASA ZILIVYOZIGAWA PALESTINA, ISRAEL KATIKA SOKA

VANCOUVER, Canada HIVI karibuni, ulifanyika Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) mjini Vancouver na tukio lililotikisa zaidi ni lile la viongozi wa...
spot_img