Friday, 21 August 2026

Mkusanyiko wa habari

MAKALA

TPA YAIGA BANDARI KUBWA DUNIANI KUBORESHA MIUNDOMINU YAKE

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza kutumia uzoefu wa bandari kubwa duniani katika kuboresha na kuendeleza miundombinu yake, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa huduma, kuvutia uwekezaji…

MLANGO-BAHARI WA HORMUZ UNAVYOITESA DUNIA

TEHRAN, Iran MGOGORO unaoendelea kati ya Iran na Marekani katika Mlango-Bahari wa Hormuz umetikisa uchumi wa dunia. Kila nchi, zikiwamo za Afrika, inapitia maumivu ya kupanda kwa bei…

MWAKA MMOJA WA PAPA LEO AKIIONGOZA VATICAN

WASHINGTON DC, Marekani UMETIMIA mwaka mmoja tangu Papa Leo XIV alipochaguliwa kuliongoza Kanisa Katoliki duniani. Aliingia madarakani Mei 8, 2025. Hata hivyo, kwa miezi 12 aliyokaa Vatican, Papa…

CARRICK ALIVYOFAULU MTIHANI MGUMU OLD TRAFFORD

MANCHESTER, UingerezaKUKINOA kikosi cha Manchester United kimekuwa ni kibarua kigumu kwa makocha wengi katika miaka 13 ya hivi karibuni. Ruben Amorim alikiri hilo wiki chache tu baada ya…

URUSI CHANZO MVUTANO WA UKRAINE, ISRAEL?

KYIV, UkraineUKRAINE na Israel ni mataifa yaliyokuwa na uhusiano mzuri, kabla ya hivi karibuni kuzuka kwa kasheshe, ambayo Urusi imetajwa kuwa chanzo chake. Mgogoro ulianzia kwa mwandishi wa…