Makala Kitaifa

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

RC SENDIGA AAGIZA HATUA ZA KISHERIA DHIDI YA WALIOHUSIKA NA HOJA 14 ZA CAG HANANG’

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa kuhakikisha hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi ya watumishi wote waliohusika...

TPA YAIGA BANDARI KUBWA DUNIANI KUBORESHA MIUNDOMINU YAKE

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza kutumia uzoefu wa bandari kubwa duniani katika kuboresha na kuendeleza miundombinu yake, hatua inayolenga kuongeza ufanisi...

MWANAFUNZI KIDATO CHA TATU ADAIWA KUJIFUNGUA NA KUMTUPA MTOTO CHOONI

Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari Kibindu wilayani Chalinze mkoani Pwani anadaiwa kujifungua mtoto wa kike na kumtupa katika shimo la...

BANDARI YA TANGA: KUTOKA “MARINE JET” HADI NGUZO MUHIMU YA BIASHARA UKANDA WA KASKAZINI

Mwaka 2018, Serikali ilianza utekelezaji wa kuboresha Tanzania Ports Authority kupitia Bandari ya Tanga kwa lengo la kuifanya kuwa kitovu muhimu cha biashara na...

BAJETI YA WIZARA YA UCHUKUZI INAVYOAKISI NDOTO ZA DKT. SAMIA KUIFANYA TANZANIA KITOVU CHA UCHUKUZI AFRIKA MASHARIKI

Kama kuna eneo moja ambalo kwa sasa linaonyesha wazi dira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, basi...

MAPACHA WALIOZALIWA NA MAMA MMOJA LAKINI BABA TOFAUTI

LONDON, Uingereza MICHELLE na Lavinia Osbourne walipishana dakika chache tu kuzaliwa kwao. Ni mapacha waliotokana na mama mmoja lakini baba tofauti. Si ajabu. Kitaalamu, hiyo inawezekana...
spot_img