HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.
Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amekemea uzushi unaoenezwa na baadhi ya watu wenye nia ya kupotosha jamii...
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni.
Hafla hiyo ya uapisho imefanyika...
Viongozi wa jamii kutoka wilaya za Longido na Ngorongoro wamekutana na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dodoma kwa lengo la kuimarisha uelewa wa...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amefanya kikao maalum cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2026, kikilenga kujadili namna bora...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, leo tarehe 10 Aprili 2026 amefanya kikao kazi na Polisi Kata...