UTAMADUNI & UTALII

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

SAME UTALII FESTIVAL YAVUTIA WAGENI HIFADHI YA MKOMAZI

Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...

NCHI ZINAZOTEGEMEA ZAIDI SEKTA YA UTALII DUNIANI

NEW YORK, Marekani UTALII ni miongoni mwa sekta muhimu zaidi duniani, ikitajwa kuchangia takribani Dola za Marekani trilioni 11.7 kwenye Pato la Dunia kwa mwaka...

FARU WALIOSHIRIKI MAPENZI KUPINDUKIA NDANI YA HIFADHI YA NGORONGORO

ARODIA PETER SIMULIZI ya faru wawili wanaoshikilia rekodi ya kushiriki kufanya mapenzi mara nyingi zaidi kuliko faru wengine, ipo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la  Ngorongoro. Mamlaka...

MCHANGA WA AJABU DUNIANI UPO NGORONGORO PEKEE

RIPOTA PANORAMA   SASA imethibitika pasipo shaka kuwa mchanga wa ajabu hapa duniani ambao huhama kutoka sehemu moja hadi nyingine, upo Tanzania pekee. Kuthibitisha hili, watu...

KAMISHNA KUJI, SIMBU WAPOKEWA ZANZIBAR

KAMISHNA wa Uhifadhi, Mussa Nassoro Kuji na bingwa wa medali ya dhahabu wa mbio ndefu duniani mwaka 2025, Alphonce Simbu wamewasili Zanzibar na kupewa...

KIJAJI ATAKA TANAPA KUZINGATIA UTU

RIPOTA PANORAMA WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa, (TANAPA) kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia utu...
spot_img