Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...
NEW YORK, Marekani
UTALII ni miongoni mwa sekta muhimu zaidi duniani, ikitajwa kuchangia takribani Dola za Marekani trilioni 11.7 kwenye Pato la Dunia kwa mwaka...
ARODIA PETER
SIMULIZI ya faru wawili wanaoshikilia rekodi ya kushiriki kufanya mapenzi mara nyingi zaidi kuliko faru wengine, ipo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro.
Mamlaka...
RIPOTA PANORAMA
SASA imethibitika pasipo shaka kuwa mchanga wa ajabu hapa duniani ambao huhama kutoka sehemu moja hadi nyingine, upo Tanzania pekee.
Kuthibitisha hili, watu...
KAMISHNA wa Uhifadhi, Mussa Nassoro Kuji na bingwa wa medali ya dhahabu wa mbio ndefu duniani mwaka 2025, Alphonce Simbu wamewasili Zanzibar na kupewa...
RIPOTA PANORAMA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa, (TANAPA) kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia utu...