MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...
ARODIA PETER
SIMULIZI ya faru wawili wanaoshikilia rekodi ya kushiriki kufanya mapenzi mara nyingi zaidi kuliko faru wengine, ipo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro.
Mamlaka...
RIPOTA PANORAMA
SASA imethibitika pasipo shaka kuwa mchanga wa ajabu hapa duniani ambao huhama kutoka sehemu moja hadi nyingine, upo Tanzania pekee.
Kuthibitisha hili, watu...
KAMISHNA wa Uhifadhi, Mussa Nassoro Kuji na bingwa wa medali ya dhahabu wa mbio ndefu duniani mwaka 2025, Alphonce Simbu wamewasili Zanzibar na kupewa...
RIPOTA PANORAMA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa, (TANAPA) kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia utu...
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limemaliza mwaka wa bajeti ya 2024/2025 kwa kishindo, likivuka malengo ya utekelezaji wa shughuli zake na ukusanyaji wa...