UTAMADUNI & UTALII

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

SAME UTALII FESTIVAL YAVUTIA WAGENI HIFADHI YA MKOMAZI

Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...

FARU WALIOSHIRIKI MAPENZI KUPINDUKIA NDANI YA HIFADHI YA NGORONGORO

ARODIA PETER SIMULIZI ya faru wawili wanaoshikilia rekodi ya kushiriki kufanya mapenzi mara nyingi zaidi kuliko faru wengine, ipo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la  Ngorongoro. Mamlaka...

MCHANGA WA AJABU DUNIANI UPO NGORONGORO PEKEE

RIPOTA PANORAMA   SASA imethibitika pasipo shaka kuwa mchanga wa ajabu hapa duniani ambao huhama kutoka sehemu moja hadi nyingine, upo Tanzania pekee. Kuthibitisha hili, watu...

KAMISHNA KUJI, SIMBU WAPOKEWA ZANZIBAR

KAMISHNA wa Uhifadhi, Mussa Nassoro Kuji na bingwa wa medali ya dhahabu wa mbio ndefu duniani mwaka 2025, Alphonce Simbu wamewasili Zanzibar na kupewa...

KIJAJI ATAKA TANAPA KUZINGATIA UTU

RIPOTA PANORAMA WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa, (TANAPA) kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia utu...

2024/2025 TANAPA ASILIMIA 100.64%

 SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limemaliza mwaka wa bajeti ya 2024/2025 kwa kishindo, likivuka malengo ya utekelezaji wa shughuli zake na ukusanyaji wa...
spot_img