UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA
BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo la uchumi. Kwa mujibu wa ripoti mpya, uchumi wa…
Mkusanyiko wa habari
BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo la uchumi. Kwa mujibu wa ripoti mpya, uchumi wa…
Serikali imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta ya fedha nchini ili iwe chachu ya maendeleo ya haraka ya kiuchumi, huku ikisisitiza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa…
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba ameliambia Bunge kuwa hakuna zuio la kisheria wala la kikanuni linalozuia utekelezaji wa mradi wa gesi asilia (LNG) wenye thamani ya dola za Kimarekani…
Watengeneza maudhui nchini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya fedha, kuweka akiba, kusimamia vyema miradi yao pamoja na kujifunza elimu ya uwekezaji ili waweze kujikwamua kiuchumi kupitia mikopo wanayopata…
BEI ya mafuta duniani imeshuka baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kukubali kusitisha mapigano kwa wiki mbili na Iran, hatua iliyoongeza matumaini ya kufunguliwa kwa Mlango-Bahari wa…
MAKALA YA MTANGAZAJI UKURASA mpya wa Tanzania kuelekea mafanikio ya kibiashara na kuwa na miundombinu ya uhakika katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, umefunguliwa na Shirika la…
RIPOTA PANORAMA SARAFU ya Tanzania inatarajiwa kupanda thamani baada ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuanza kununua na kuhifadhi dhahabu inayozalishwa hapa nchini. Hayo yameelezwa na Waziri wa…
RIPOTA PANORAMA UTEKELEZA wa sera za fedha na mpango wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara, vimechochea kuongozeka kwa mikopo katika sekta binafsi ambayo sasa imefikia asilimia 22.5. Hatua…
RIPOTA PANORAMA UCHUMI wa Tanzania unatarajiwa kukua hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 85.5 mwaka 2023. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba alipokuwa…
RIPOTA PANORAMA ASILIMIA 8 ya Watanzania wanaishi chini ya umasikini uliokithiri, wakitumia chini ya Shilingi 33,748 kwa mwezi kwa mahitaji ya chakula cha mtu mzima. Kwa upande wa Watanzania wanaoishi…