UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

Date:

Share post:

BEIJING, China

LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo la uchumi.

Kwa mujibu wa ripoti mpya, uchumi wa Taifa hilo la Asia umekuwa mara dufu kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu ya mwaka huu.

Ripoti iliyotolewa na Serikali inaonesha kuwa Pato la Taifa limeongezeka kwa asilimia tano kiwango ambacho kimetajwa kuwa kikubwa zaidi ikilinganishwa na matarajio ya awali.

Aidha, usafirishaji wa bidhaa mbalimbali, yakiwemo magari, umetajwa kuwa chanzo cha kukua haraka kwa uchumi wa nchi hiyo.

Mafanikio hao yamekuja wakati huu Marekani ikiwa imeiwekea China tozo ya asilimia 10 kwa bidhaa zake zinazoingia nchini humo.

Imeandaliwa na Hassan Mwacha

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SIKU 100 ZA RAIS MPYA WA VENEZUELA: MABADILIKO NA MASWALI MAPYA

CARACAS, Venezuela BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari...

MAELFU YA FAMILIA SUDAN BADO WAKIMBIA VITA, HALI YA MAISHA YAZIDI KUWA MBAYA

MAELFU ya familia nchini Sudan bado wanalazimika kuyakimbia makazi yao, miji na hata mipaka ya nchi kufuatia vita...

ISRAEL YAENDELEA NA OPERESHEN DHIDI YA HEZBOLLAH NCHINI LEBANON

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Jeshi la nchi yake linaendelea na operesheni dhidi ya wanamgambo wanaoungwa...

SENESI SASA AINGIA RADA ZA LIVERPOOL

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imeanza rasmi mbio za kunasa saini ya beki wa Bournemouth, Marcos Senesi. Taarifa za Senesi...