Mchokonozi

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

TUMEKOSEA HAPA, TUJISAHIHISHE

MCHOKONOZI MSALABA wa mema na mabaya katika Taifa letu kwa sasa upo mabegani mwa Raisi Samia Suluhu Hassan bila kujali mema na mabaya hayo yalipandikizwa lini,...

SUKARI MCHANA, JINAMIZI LA TUHUMA ZA MPINA USIKU

MCHOKONOZI MOYO wangu umekaa upogo, fikra zangu zimeganda, mwili wangu umelegea, usingizi wangu umekuwa wa shida. Ninahisi kuitapika roho yangu. Mimi ni mpenzi wa kahawa iliyotiwa...

BANDARI, DP WORLD NA KISA CHA NYANI HAONI KUNDULE

MCHOKONOZI CHARLES MULLINDA KUNA ya vita ya manyani inayopiganwa sasa hapa nchini. Ni vita ya nyani kuchekana maumbile yao ya nyuma. Maumbile ya nyani hayatofautiani...

WAZIRI NAPE LIA NAO, CHEKA NAO, WAKIFA WAOMBOLEZEE

MCHOKONOZI CHARLES MULLINDA NAPE Moses Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ninakuandikia waraka huu wa Mchokonozi ili mioyo ya waandishi wa habari itakapokuwa...

CHAWA ANAPODANDA KILEMBA CHA RAIS SAMIA (2)

MCHOKONOZI 0711 46 49 84 MILA, desturi na tamaduni za kiafrika zinatufundisha na kutuelekeza waafrika wadogo kiumri kuheshimu wazee wetu bila kujali kuwa ni watu...

KESI YA UNGA YA MUNA NA HARIRI MBELE YA GACACA

CHARLES MULLINDA KESI ya unga. Watuma maombi kwa niaba ya serikali ni wachokonozi; na wajibu maombi ni, mosi; shahidi wa Serikali ambaye ushahidi wake mahakamani...
spot_img