Michezo Kimataifa

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

ALICHOFANYA RONALDO KIMEIFURAHISHA DUNIA

Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameongoza tukio la kugusa hisia baada ya Portugal kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia na kufuzu...

MBAYA WA WAARABU ATUA SAUDI KWA KISHINDO KAZI WANAYO

Klabu ya Al Ahli Saudi FC imemtangaza rasmi Abubacarr Kinteh kuwa mchezaji wake mpya baada ya kukamilisha usajili wake katika dirisha hili la usajili...

WABABE WA SIMBA WAONGEZA BALAA JIPYA KUNDINI

Klabu ya CS Constantine imemtangaza rasmi Mondher Kebaier kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo baada ya kukamilisha taratibu zote za usajili na kusaini...

AS MONACO YAPATA PIGO ZITO, MWAMBA KAAGA RASMI

Beki kijana Kassoum Ouattara ameanza rasmi ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kujiunga na Beşiktaş J.K. akitokea AS Monaco FC. Ouattara anaondoka...

SIO SIRI TENA KIONGOZI WAO KAONDOKA KLABUNI

Klabu ya Al-Ittihad SC imetoa salamu maalum za kumuaga aliyekuwa nahodha wake, Talal Faraj, baada ya kumalizika kwa kipindi chake cha kuitumikia timu hiyo. Kupitia...

TAARIFA HII IMEWASHTUA WATU WENGI, SIO SIRI TENA

Klabu ya Athletic Club imetangaza rasmi kumuongezea mkataba Mkurugenzi wake wa Masuala ya Soka, Mikel González, ambaye sasa ataendelea kuhudumu katika nafasi hiyo hadi...
spot_img