Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz, ametajwa katika orodha ya wasanii sita wakubwa zaidi barani Afrika iliyochapishwa na ukurasa wa Tanzania Charts.
Orodha hiyo...
Tasnia ya burudani nchini Tanzania imekumbwa na majonzi kufuatia kifo cha mwigizaji na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa soka wa klabu ya Young Africans,...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa Afrobeats, Davido, amewaweka mkao wa kula mashabiki wake, akisema wajiandaye kwa 'kolabo' yake na mkali wa R&B nchini Marekani, Chris Brown.
Katika...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...
LAGOS, Nigeria
WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa za furaha, hivyo unapaswa kujiandaa na...
HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria, ambao walipiga marufuku nyimbo zake kuchezwa.
Chama...