BURUDANI

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

DIAMOND PLATNUMZ ATAJWA MIONGONI MWA WASANII SITA BORA AFRIKA

Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz, ametajwa katika orodha ya wasanii sita wakubwa zaidi barani Afrika iliyochapishwa na ukurasa wa Tanzania Charts. Orodha hiyo...

BURIANI GWIJI WA SOKA NA MAIGIZO NCHINI, HASHIM KAMBI

Tasnia ya burudani nchini Tanzania imekumbwa na majonzi kufuatia kifo cha mwigizaji na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa soka wa klabu ya Young Africans,...

SIKIA HII! DAVIDO, CHRIS BROWN WANA JAMBO LAO

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa Afrobeats, Davido, amewaweka mkao wa kula mashabiki wake, akisema wajiandaye kwa 'kolabo' yake na mkali wa R&B nchini Marekani, Chris Brown. Katika...

NINI CHANZO CHA ‘BIFU’ ZITO LA MAPACHA WA P-SQUARE?

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa za furaha, hivyo unapaswa kujiandaa na...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria, ambao walipiga marufuku nyimbo zake kuchezwa. Chama...
spot_img