SIKIA HII! DAVIDO, CHRIS BROWN WANA JAMBO LAO

Date:

Share post:

LAGOS, Nigeria

SUPASTAA wa Afrobeats, Davido, amewaweka mkao wa kula mashabiki wake, akisema wajiandaye kwa ‘kolabo’ yake na mkali wa R&B nchini Marekani, Chris Brown.

Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Davido amedai kuwa mzigo huo utaingia sokoni mapema mwakani.

Hata hivyo, amesema kwa sasa ngoma zake zitajikita katika vionjo vya Kiafrika, licha ya kwamba atakuwa akiwashirikisha mastaa wa kimataifa.

“Muziki ninaotengeneza kwa sasa ni wa Kiafrika. Hata katika ngoma zangu zijazo, nitafanya na maprodyuza wangu wa zamani,” amesema.

Davido na Chris Brown walianza kushirikiana katika ngoma mwaka 2019. Kolabo yao ya kwanza iliyofanya vizuri ni ‘Blow My Mind’. Wawili hao wana nyimbo tano walizofanya pamoja.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...

MATESO WANAYOPITIA WATOTO KATIKA MACHAFUKO YA SUDAN

DARFUR, Sudan "HALI ya watoto nchini Sudan inazidi kuwa mbaya kila baada ya saa moja." Hiyo ni kauli ya...

IRAN: TUKO TAYARI KWA VITA MAZUNGUMZO YAKISHINDIKANA

TEHRAN, IranSPIKA wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema nchi yake itakuwa tayari kwa mbinu mpya za...