111 AKIWAMO DIWANI WAPUKUTIKA CHADEMA

Date:

Share post:

Gervas Mwakyusa muda mfupi baada ya kusajili wa CCM akitokea Chadema  

MACHI 4, 2018

Wanachama 110 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekihama chama hicho leo na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Sambamba nao, Garvas Mwakyusa, Diwani wa  Kata ya Legezamwendo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa kwa tiketi ya Chadema naye amejivua wadhfa wake pamoja na uanachama na kujiunga na CCM.
Taarifa kutoka mkoani Rukwa zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea katika mkutano wa ndani wa CCM wa ujenzi wa chama katika Wilaya ya Kalambo ulioongozwa na Katibu Mwenezi wa CCM, Taifa Humphrey Polepole.
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole akizungumza katika mkutano wa ndani kwenye Kata ya Lugezamwendo wilayani Kalambo, leo.

Umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

EMERY APANGA KUIBOMOA BARCELONA

LONDON, Uingereza KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, anaitaka saini ya beki wa Barcelona, Alejandro Balde, na amewaambia mabosi...

BAYERN YAMKODOLEA MACHO KIUNGO WA TOTTENHAM

LONDON, Uingereza BAYERN Munich inampigia hesabu za karibu kiungo wa Tottenham na timu ya Taifa ya Senegal, Pape Matar...

RIPOTI: IDADI YA WAHAMIAJI ULAYA IMEVUNJA REKODI, UJERUMANI INAONGOZA

LONDON, UingerezaRIPOTI mpya imeonesha kuwa Ulaya nchi za Ulaya zlipokea wahamiaji milioni 64 mwaka 2025, likiwa ni ongezeko...

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...