Uncategorized

JELA MIAKA 30 KWA KUPATIKANA NA BANGI

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwa na dawa...

DUTERTE KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC

MANILA, Ufilipino JOPO la majaji watatu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) limethibitisha kuwa Rais wa zamani wa...

WRIGHT: RICE APEWE BALLON D’OR

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka...

ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano. Wakati...

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...
spot_img

ZITTO SIYO MPENZI WANGU

Salma Said NA MWANDISHI WETU MWANAHARAKATI Salma Said amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikumuhusisha na uhusiano wa kimapenzi na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo,...

KUBENEA AANZA MAISHA MAPYA GEREZANI

 Saed KubeneaNA MWANDISHI WETU Mgombea ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Said Kubenea amekamatwa na kufikishwa mahakamani akituhumiwa...

CHADEMA YALIA KUCHEZEWA RAFU

Tumaini Makene NA MWANDISHI WETU Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza masikitiko yake dhidi ya watu wanaokichafua katika mitandao ya kijamii.   Akizungumza na Tanzania...

CCM YAJITENGA NA 'LAANA YA MDOMO'

  NA MWANDISHI WETUMWELEKEO mpya wa siasa za majukwaani za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 wa kujitenga...

POLISI DAR WAUA WATUHUMIWA WAWILI WA UJAMBAZI

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni limewaua watu wawili wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya wizi toka maungoni,...

WATUHUMIWA DAWA ZA KULEVYA WAFANYA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 JESHI la Polisi limewaruhusu wanafunzi saba wanaosoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya St. Mary’s waliokamatwa...
spot_img