ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

Date:

Share post:

WASHINGTON DC, Marekani

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano.

Wakati huo huo, Rais Trump ameeleza kuwa hana wasiwasi juu ya mpango wake wa kufikia makubaliano na Iran.

Amezungumzia hilo akihusianisha na hatua ya jeshi la Marekani kuizuia meli ya mafuta ya Iran katika Bara ya Hindi.

“Marekani ina udhibiti kamili wa Mlango-Bahari wa Hormuz,” amesema Rais Trump.

Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Israel imedai kuwa iko tayari ‘kufufua’ vita yake na Iran endapo itapata ruhusa ya Marekani.

Katika hatua nyingine, jeshi la Israel limewashutumu wapiganaji wa Hezbollah kwa kuendeza mashambulizi wakati huu wa makubaliano ya kusitisha vita.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...

PAPA AKOSOA MATESO YA WAFUNGWA GUINEA

MALABO, Guinea ya Ikweta KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ameeleza kutokuridhishwa na namna wafungwa wanavyoishi katika...

LEAO AINGIA RADA ZA UNITED, LIVERPOOL

MILAN, Italia MANCHESTER United na Liverpool zimeingia kwenye ushindani mkali wa kuiwania saini ya winga wa AC Milan, Rafael...

MAN CITY YATUA KWA ENZO WA CHELSEA

LONDON, Uingereza KLABU ya Manchester City inaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, wakati wa usajili wa...