Uncategorized

RAIS WA UTURUKI AIONYA ULAYA KUHUSU IRAN

ISTANBUL, Uturuki RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la Ulaya. Tayyip Erdogan ameyasema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu...

ISRAEL YASHUTUMIWA MAUAJI YA MWANDISHI LEBANON

BEIRUT, Lebanon LEBANON imeishutumu Israel ikiihusisha na kifo cha mwandishi wa habari aliyeuawa katika shambulizi la anga. Amal Khalil aliuawa...

TRENI ZAGONGANA NA KUJERUHI ABIRIA 10 DENMARK

COPENHAGEN, DenmarkAJALI ya treni mbili za abiria zilizogongana imesababisha watu wanaotajwa kufikia 10 kujeruhiwa nchini Denmark. Kwa mujibu wa...

MABORESHO YA MKOA WA KATAVI KUWEKWA KWENYE GRIDI YA TAIFA YA UMEME YA KAMILIKA

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imekamilisha kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo...

WANANCHI PWANI KUNUFAIKA NA UJENZI BARABARA YA KIMANZICHANA – MSANGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia wakazi wa Kimanzichana mkoani Pwani kuwa Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili...
spot_img

WAFANYAKAZI KAMPUNI YA LEDSO WAOMBA HURUMA YA RAIS SAMIA

 Rais Samia Suluhu HassanMWANDISHI WA PANORAMA   Wafanyakazi wa Kampuni ya Usafi ya Ledso Consolidated Limited iliyopo jijini Dar es Salaam wamemuomba Rais Samia...

DANIDA WAMWAGA MAPESA LSF

 Balozi wa Denmark, Matte Norgaard Dissing-Spandet (kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Legal Servies Facility (LSF) Lulu Ng'wanakilala (kulia) wakibadilishana nyaraka za...

MFUMO WA KUMBUKUMBU KUPUNGUZA MALALAMIKKO TASAF

 Afisa anayeshughulikia malalamiko wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii, (TASAF) Makwinja Damas Yusuph akizungumza katika mafunzo ya kuwejengea uwezo watendaji wa mfuko huo, yaliyofanyika...

POLISI: FAILI LA UNGA, KUBAKA YAKO KWA MWANASHERIA

 Miche ya BangiMWANDISHI WA PANORAMA Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni limesema upepelezi wa majalada mawili, moja la kubaka na la pili la...

POLISI WAULIZANA FAILI LA DAWA ZA KULEVYA

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni (mbele) Ramadhani KingaiMWANDISHI WA PANORAMA IKIWA imepita miezi sita sasa tangu kukamatwa kwa vijana saba wakivuta...

RAIS SAMIA KUWAKILISHWA NA RAIS MWINYI NI DHAMBI?

 Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan NA ABBAS MWALIMU0719258484Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tumepokea maswali mengi kutoka kwa wadau wetu...
spot_img