TRENI ZAGONGANA NA KUJERUHI ABIRIA 10 DENMARK

Date:

Share post:

COPENHAGEN, Denmark
AJALI ya treni mbili za abiria zilizogongana imesababisha watu wanaotajwa kufikia 10 kujeruhiwa nchini Denmark.

Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari vya ndani na nje, ajali hiyo ilitokea jana Aprili 22, 2026 mjini Hillerod, Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Copenhagen.

“Kulikuwa na majeruhi miongoni mwa abiria waliokuwa kwenye treni hiyo,” imeeleza taarifa ya Idara ya Zimamoto ya Copenhagen.

Katika hatua nyingine, mamlaka zimeeleza kuwa bado zinaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha ajali hiyo.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA UTURUKI AIONYA ULAYA KUHUSU IRAN

ISTANBUL, Uturuki RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la...

ISRAEL YASHUTUMIWA MAUAJI YA MWANDISHI LEBANON

BEIRUT, Lebanon LEBANON imeishutumu Israel ikiihusisha na kifo cha mwandishi wa habari aliyeuawa katika shambulizi la anga. Amal Khalil aliuawa...

MABORESHO YA MKOA WA KATAVI KUWEKWA KWENYE GRIDI YA TAIFA YA UMEME YA KAMILIKA

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imekamilisha kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo...

WANANCHI PWANI KUNUFAIKA NA UJENZI BARABARA YA KIMANZICHANA – MSANGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia wakazi wa Kimanzichana mkoani Pwani kuwa Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili...