MABORESHO YA MKOA WA KATAVI KUWEKWA KWENYE GRIDI YA TAIFA YA UMEME YA KAMILIKA

Date:

Share post:

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imekamilisha kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo kuimarisha upatikanaji wa umeme katika mkoa huo pamoja na kulipunguzia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) gharama za uzalishaji wa umeme kwa kutumia mafuta katika mkoa huo, ambapo jumla ya shilingi bilioni 68.4 zimeokolewa.

Aidha, Ndejembi amesema kwa upande wa usafirishaji wa umeme, ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma, yenye urefu wa kilomita 345 umefikia asilimia 74.13.

Ndejembi amesema hayo leo Aprili 22, 2026 bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA UTURUKI AIONYA ULAYA KUHUSU IRAN

ISTANBUL, Uturuki RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la...

ISRAEL YASHUTUMIWA MAUAJI YA MWANDISHI LEBANON

BEIRUT, Lebanon LEBANON imeishutumu Israel ikiihusisha na kifo cha mwandishi wa habari aliyeuawa katika shambulizi la anga. Amal Khalil aliuawa...

TRENI ZAGONGANA NA KUJERUHI ABIRIA 10 DENMARK

COPENHAGEN, DenmarkAJALI ya treni mbili za abiria zilizogongana imesababisha watu wanaotajwa kufikia 10 kujeruhiwa nchini Denmark. Kwa mujibu wa...

WANANCHI PWANI KUNUFAIKA NA UJENZI BARABARA YA KIMANZICHANA – MSANGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia wakazi wa Kimanzichana mkoani Pwani kuwa Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili...