Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
WALIMBWENDE 20 wa shindano la Miss World Tanzania 2026, wamewasili jijini Dodoma kwa ziara maalum yenye lengo la kujifunza na kutembelea taasisi mbalimbali za...
NAIROBI, Kenya
STAA wa Bongo Fleva, Seif Shabani Matonya maarufu kama Matonya, ameachiwa kwa dhamana kufuatia mashitaka ya ubakaji yanayomkabili nchini Kenya.
Msanii huyo anadaiwa kutenda...
Watengeneza maudhui nchini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya fedha, kuweka akiba, kusimamia vyema miradi yao pamoja na kujifunza elimu ya uwekezaji ili waweze kujikwamua...
LOS ANGELES, Marekani
WIZARA ya Uhamiaji ya Uholanzi imeweka wazi kuwa haitomnyima rapa Kanye West kibali cha kuingia nchini humo.
Uholanzi imeibuka na taarifa hiyo baada...
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kwa kushirikiana na wadau wa utalii na uhifadhi, wamefanya mazoezi ya pamoja (jogging) Aprili 8, 2026 katika Wilaya...
MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA
MUIGIZAJI filamu mashuhuri wa Uingereza, Idris Elba (52) (pichani hapo juu) anakusudia kuhamia Zanzibar ndani ya mitano hadi kumi ijayo.
Kwa...