BURUDANI

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

WALIMBWENDE 20 WA MISS WORLD TANZANIA 2026 WAWASILI DODOMA

WALIMBWENDE 20 wa shindano la Miss World Tanzania 2026, wamewasili jijini Dodoma kwa ziara maalum yenye lengo la kujifunza na kutembelea taasisi mbalimbali za...

MATONYA AACHIWA KWA DHAMANA KESI YA UBAKAJI NCHINI KENYA

NAIROBI, Kenya STAA wa Bongo Fleva, Seif Shabani Matonya maarufu kama Matonya, ameachiwa kwa dhamana kufuatia mashitaka ya ubakaji yanayomkabili nchini Kenya. Msanii huyo anadaiwa kutenda...

WATENGENEZA MAUDHUI ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO MAALUM YA KUIMARISHA UWEZO WAO.

Watengeneza  maudhui nchini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya fedha, kuweka akiba, kusimamia vyema miradi yao pamoja na kujifunza elimu ya uwekezaji ili waweze kujikwamua...

UHOLANZI: HATUNA SHIDA NA KANYE WEST

LOS ANGELES, Marekani WIZARA ya Uhamiaji ya Uholanzi imeweka wazi kuwa haitomnyima rapa Kanye West kibali cha kuingia nchini humo. Uholanzi imeibuka na taarifa hiyo baada...

TANAPA WAPASHA MISULI KUELEKEA SAME UTALII FESTIVAL

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kwa kushirikiana na wadau wa utalii na uhifadhi, wamefanya mazoezi ya pamoja (jogging) Aprili 8, 2026  katika Wilaya...

NYOTA WA FILAMU WA UINGEREZA KUHAMIA ZANZIBAR

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA MUIGIZAJI filamu mashuhuri wa Uingereza, Idris Elba (52) (pichani hapo juu) anakusudia kuhamia Zanzibar ndani ya mitano hadi kumi ijayo. Kwa...
spot_img