LONDON, Uingereza
NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...
Viongozi wa jamii kutoka wilaya za Longido na Ngorongoro wamekutana na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dodoma kwa lengo la kuimarisha uelewa wa...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amefanya kikao maalum cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2026, kikilenga kujadili namna bora...
LUSAKA, Zambia
WIZARA ya Afya ya Zambia imekuwa ikinufaika na misaada ya afya kutoka Marekani lakini wakosoaji wanasema kuna siri nzito inayoendelea nyuma ya pazia.
Marekani...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, leo tarehe 10 Aprili 2026 amefanya kikao kazi na Polisi Kata...
Serikali imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta ya fedha nchini ili iwe chachu ya maendeleo ya haraka ya kiuchumi, huku ikisisitiza upatikanaji wa...