MAKALA

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

DKT KIJAJI: UHIFADHI ENDELEVU NI INJINI YA UKUAJI WA UTALII NCHINI

Viongozi wa jamii kutoka wilaya za Longido na Ngorongoro wamekutana na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dodoma kwa lengo la kuimarisha uelewa wa...

HANDENI WAKUTANA KUJIPANGA KUPOKEA MWENGE WA UHURU

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amefanya kikao maalum cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2026, kikilenga kujadili namna bora...

UKIMWI UNAVYOIGHARIMU ZAMBIA KWA MAREKANI

LUSAKA, Zambia WIZARA ya Afya ya Zambia imekuwa ikinufaika na misaada ya afya kutoka Marekani lakini wakosoaji wanasema kuna siri nzito inayoendelea nyuma ya pazia. Marekani...

RPC TANGA AKUTANA NA POLISI KATA KUWEKA MIKAKATI KUIMARISHA USALAMA KATIKA MKOA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, leo tarehe 10 Aprili 2026 amefanya kikao kazi na Polisi Kata...

ELIMU YA MALEZI DHIDI YA UKATILI WA WATOTO YATOLEWA KIBAHA

MKAGUZI wa Polisi wa Kata ya Picha ya Ndege, Halmashauri ya Mji Kibaha mkoani Pwani, Ibrahim Makaruti, ametoa elimu kwa wazazi kuhusu umuhimu wa...

SERIKALI YASISITIZA DHAMIRA YAKE KUIMARISHA SEKTA YA FEDHA NCHINI

Serikali imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta ya fedha nchini ili iwe chachu ya maendeleo ya haraka ya kiuchumi, huku ikisisitiza upatikanaji wa...
spot_img