RPC TANGA AKUTANA NA POLISI KATA KUWEKA MIKAKATI KUIMARISHA USALAMA KATIKA MKOA

Date:

Share post:

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, leo tarehe 10 Aprili 2026 amefanya kikao kazi na Polisi Kata kutoka wilaya zote za Mkoa wa Tanga.

Kikao hicho kililenga kuimarisha utendaji kazi, kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu na utoaji wa huduma bora kwa wananchi katika ngazi ya kata, pamoja na kusisitiza umuhimu wa nidhamu, uwajibikaji na ushirikiano miongoni mwa askari ili kuendelea kudumisha amani na usalama katika Mkoa wa Tanga.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...