MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
MERSEYSIDE, Uingereza
MKONGWE wa Liverpool, Steven Gerrard, amewataka mabosi wa klabu hiyo kufanya usajili wa haraka ili kuimarisha kikosi chao.
Gerrard amependekeza kurejeshwa kwa mshambuliaji wa...
ARSENAL haijaachana na mpango wake wa kumsajili beki wa Real Madrid, Victor Valdepenas, ingawa inakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa AC Milan.
Taarifa zinaeleza kuwa...
KLABU ya RB Leipzig imetangaza kuwa inahitaji Pauni milioni 87.3 kwa klabu yoyote inayomtaka mshambuliaji wake, Yan Diomande.
Diomande mwenye umri wa miaka 19, amekuwa...
MANCHESTER, Uingereza
BAADA ya kusikia Real Madrid wanamtaka, mabosi wa Manchester City wamempa ofa ya mkataba mpya kiungo wao raia wa Hispania, Rodri.
Mkataba wake na...