MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
ZIKIWA zimebaki mechi takribani 12 kumalizika kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara, tayari kadi nyekundu 10 zimeshatolewa katika mechi mbalimbali.
Hata hivyo, takwimu zinaonesha...
SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina ya waamuzi sita kutoka Afrika watakaochezesha fainali za Kombe la Dunia 2026, zitakazoanza Juni 11 katika nchi...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United inampigia hesabu kali kiungo wa Southampton, Shea Charles.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, ndiye aliyefunga bao la ushindi...
CATALUNYA, Hispania
KWA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid ya kocha Diego Simeone imefuta ‘mkosi’ ulioiandama kwa miaka 20.
Katika mchezo wa jana...
LONDON, Uingereza
WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, ameingia kwenye rada za klabu kongwe ya Argentina, River Plate.
Ni mwaka mmoja sasa tangu Muargentina huyo mwenye umri...
MUNICH, Ujerumani
KLABU ya Borussia Dortmund inajaribu kumrejesha kiungo wake wa zamani, Jadon Sancho.
Sancho aliondoka Dortmund mwaka 2021 na kutua Manchester United kwa ada ya...