MICHEZO

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

TRA UNITED VINARA KADI NYEKUNDU KMC WAKIRUHUSU MABAO MENGI ZAIDI LIGI KUU YA NBC

ZIKIWA zimebaki mechi takribani 12 kumalizika kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara, tayari kadi nyekundu 10 zimeshatolewa katika mechi mbalimbali. Hata hivyo, takwimu zinaonesha...

WAJUE MAREFA 6 KUTOKA AFRIKA WATAKAOCHEZESHA KOMBE LA DUNIA 2026

SHIRIKISHO  la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina ya waamuzi sita kutoka Afrika watakaochezesha fainali za Kombe la Dunia 2026, zitakazoanza Juni 11 katika nchi...

ALIYEITUNGUA ARSENAL AWINDWA MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United inampigia hesabu kali kiungo wa Southampton, Shea Charles. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, ndiye aliyefunga bao la ushindi...

ATLETICO MADRID YAVUNJA MWIKO CAMP NOU

CATALUNYA, Hispania KWA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid ya kocha Diego Simeone imefuta ‘mkosi’ ulioiandama kwa miaka 20. Katika mchezo wa jana...

RIVER PLATE WAMVUTIA KAZI GARNACHO

LONDON, Uingereza WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, ameingia kwenye rada za klabu kongwe ya Argentina, River Plate. Ni mwaka mmoja sasa tangu Muargentina huyo mwenye umri...

DORTMUND YAMPAMBANIA NA SANCHO

MUNICH, Ujerumani KLABU ya Borussia Dortmund inajaribu kumrejesha kiungo wake wa zamani, Jadon Sancho. Sancho aliondoka Dortmund mwaka 2021 na kutua Manchester United kwa ada ya...
spot_img