RIVER PLATE WAMVUTIA KAZI GARNACHO

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza

WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, ameingia kwenye rada za klabu kongwe ya Argentina, River Plate.

Ni mwaka mmoja sasa tangu Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 21 alipojiunga na Chelsea akitokea Manchester United.

Garnacho aliondoka Old Trafford baada ya kumkosoa hadharani kocha wa wakati huo, Ruben Amorim.

Hata hivyo, mambo hayajaenda vizuri kwake chini ya kocha mpya wa Blues, Liam Rosenior.

Wakati huu akiwa hana furaha, ripoti zinaeleza kuwa kocha wa Plate, Eduardo Coudet, amefanya mawasiliano ya moja kwa moja na winga huyo.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...