DORTMUND YAMPAMBANIA NA SANCHO

Date:

Share post:

MUNICH, Ujerumani

KLABU ya Borussia Dortmund inajaribu kumrejesha kiungo wake wa zamani, Jadon Sancho.

Sancho aliondoka Dortmund mwaka 2021 na kutua Manchester United kwa ada ya Pauni milioni 73.

Mkataba wake unairuhusu Man United kumbakiza hadi mwaka 2027 lakini klabu hiyo ya England haijaonesha kuvutiwa na mpango huo.

Mara ya mwisho kwa nyota huyo kuitumikia Man United katika mechi ya mashindano ilikuwa mwaka 2023.

Kwa sasa, Sancho anacheza kwa mkopo Aston Villa lakini Dortmund wanataka arejee Bundesliga mwishoni mwa msimu huu.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...