Uncategorized

DUTERTE KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC

MANILA, Ufilipino JOPO la majaji watatu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) limethibitisha kuwa Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, atapandishwa kizimbani. Duterte anakabiliwa na mashitaka ya uhalifu dhidi...

WRIGHT: RICE APEWE BALLON D’OR

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka...

ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano. Wakati...

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...

PAPA AKOSOA MATESO YA WAFUNGWA GUINEA

MALABO, Guinea ya Ikweta KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ameeleza kutokuridhishwa na namna wafungwa wanavyoishi katika...
spot_img

MWANAMUZIKI MISRI AFUNGWA KWA KUKASHIFU MTO NILE

RIPOTA MAMALUMUMWANAMUZIKI maarufu wa Misri, Sherine Abdel Wahab amehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani kwa kukashifu usafi wa Mto Nile. Sherine ambaye pia ni jaji...

WARAKA WA VIJANA WA ACT WAZALENDO KWA ZITTO, MEMBE MGOMBEA URAIS WA ACT NI ZITTO AU MEMBE

MWANDISHI MAALUMUSISI vijana wa ACT- Wazalendo kutoka mikoa mbalimbali tunaendelea kusikitishwa na mwenendo wa uendeshaji wa chama chetu ambapo mpaka sasa hatuelewi kampeni inaendeshwa...

DK. KASHILILAH: BUNGE LA SAMUEL SITTA

DK THOMAS KASHILLILAHNA CHARLES MULLINDAMwandishi Mwandamizi wa Jarida la Umoja, Charles Mullinda alifanya mahojiano ya ana kwa ana na Katibu Mkuu wa Bunge, Dk.Thomas...

NYUMA YA MLANGO WA BUNGE: – SIASA NI MAJUNGU, CHUKI NA FITINA

BUNGE LA TANZANIANA CHARLES MULLINDANILIPATA hamu ya kuonana na kuzungumza na Japhet Sagasii, Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria ambaye kabla ya kuteuliwa na...

TFF MOTO

RAIS WA TFF, KARIA DAR ES SALAAMKuna malalamiko kuwa ajira katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zinatolewa kwa upendeleo na baadhi ya watu waliojiriwa hawana...

OCEAN ROAD WATIBU KWA MIONZI YA NYUKLIA

Ocean RoadDAR ES SALAAMTAASISI ya Saratani ya Ocean Road inatibu watu zaidi 2000 kila mwaka kwa kutumia mionzi ya Nyuklia.Hayo yameelezwa leo na Daktari...
spot_img