Uncategorized

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya vigogo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City. Kwa sasa, Leicester...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...

NEWCASTLE KUMUUZA MSHAMBULIAJI WA BEI MBAYA

LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa,...
spot_img

MeTL HAIJATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 KAMPUNI ya Mohamed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL) inayomiliki mashamba ya mkonge yaliyoko Mkoa wa Tanga, bado haijatekeleza agizo...

MeTL YATOA KAULI UTEKELEZAJI AGIZO LA SERIKALI

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 KAMPUNI ya Mohamed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL) inayomiliki mashamba ya mkonge yaliyoko Tanga, imesema inatekeleza kwa awamu agizo...

TEMESA KUANZA KULIPA MADENI YA WAZABUNI

Mashaka Mhando WAKALA wa Ufundi na Umeme (TEMESA), itaanza kulipa sehemu ya madeni ya Shilingi bilioni nne wanayodai wazabuni kutokana na fedha zilizolipwa na wizara...

MURRO AIBUA FURAHA ILIYOPOTEA MIAKA 12 KIJIJI CHA MANYIRE

MWANDISHI MAALUMU, ARUMERU FURAHA ilipotea ya wananchi wa Kijiji cha Manyire, Kata ya Mlangarini, Halmashauri ya Arusha baada ya kunyang'anywa ardhi yao na mtu aliyefahamika...

MBOWE AWEZA KUFUNGWA HADI MIAKA MIWILI

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe anaweza kufungwa gerezani kifungo cha mpaka miaka miwili...

TANAPA YANYACHUKUA TUZO YA DHAHABU KIMATAIFA

MWANDISHI MAALUMU, ARUSHA MAMLAKA ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), imeshinda tuzo ya dhahabu ya kimataifa ya utoaji huduma bora kwa mwaka 2020 inayotolewa na Taasisi...
spot_img