LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya vigogo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City.
Kwa sasa, Leicester...
RIPOTA PANORAMA
OMBI lililowasilishwa na Hospitali ya Kairuki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa kesi ya madai inayoikabili isikilizwe kwa siri limetupiliwa mbali.
Hospitali ya...
RIPOTA PANORAMA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana usiku aliruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa akitibiwa na kurejea nyumbani.
Mbowe alilazwa katika Hospitali...
RIPOTA PANORAMA, ARUSHA
MAHAKAMA ya Afrika Mashariki (EACJ) leo imeshindwa kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Baraza la Serikali ya Kijiji cha Ololosokwan kwa sababu hati ya...
RIPOTA PANORAMA, RUKWA
MZEE mwenye umri wa miaka 72 aliyefahamika kwa jina la Paul Kisiwa, mkazi wa Kijiji cha Ng’ongo ameuawa kwa kupigwa rungu kichwani.
Mzee...