MAKALA

RAIS WA UTURUKI AIONYA ULAYA KUHUSU IRAN

ISTANBUL, Uturuki RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la Ulaya. Tayyip Erdogan ameyasema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu...

ISRAEL YASHUTUMIWA MAUAJI YA MWANDISHI LEBANON

BEIRUT, Lebanon LEBANON imeishutumu Israel ikiihusisha na kifo cha mwandishi wa habari aliyeuawa katika shambulizi la anga. Amal Khalil aliuawa...

TRENI ZAGONGANA NA KUJERUHI ABIRIA 10 DENMARK

COPENHAGEN, DenmarkAJALI ya treni mbili za abiria zilizogongana imesababisha watu wanaotajwa kufikia 10 kujeruhiwa nchini Denmark. Kwa mujibu wa...

MABORESHO YA MKOA WA KATAVI KUWEKWA KWENYE GRIDI YA TAIFA YA UMEME YA KAMILIKA

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imekamilisha kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo...

WANANCHI PWANI KUNUFAIKA NA UJENZI BARABARA YA KIMANZICHANA – MSANGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia wakazi wa Kimanzichana mkoani Pwani kuwa Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili...
spot_img

USIYOYAJUA KUHUSU HEZBOLLAH: KUNDI LINALOITESA ISRAEL

BEIRUT, Lebanon SAHAU kwa muda kile kinachoendelea kati ya Marekani na Iran. Kwenye kona nyingine ya Mashariki ya Kati, kuna vita vingine vinavyoendelea kwa ukali...

SAME UTALII FESTIVAL YAVUTIA WAGENI HIFADHI YA MKOMAZI

Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...

NCHI ZINAZOTEGEMEA ZAIDI SEKTA YA UTALII DUNIANI

NEW YORK, Marekani UTALII ni miongoni mwa sekta muhimu zaidi duniani, ikitajwa kuchangia takribani Dola za Marekani trilioni 11.7 kwenye Pato la Dunia kwa mwaka...

RAIS DKT. MWINYI AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA IKULU ZANZIBAR.

ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni. Hafla hiyo ya uapisho imefanyika...

MAREKANI V IRAN: NINI HATIMA BAADA YA KUKOSEKANA SULUHU?

PANDE zote mbili zinatupiana lawama, kila moja ikiitaja nyingine kukwamisha upatikanaji wa suluhu katika mazungumzo ya amani yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan. Wawakilishi wa Marekani na...

NINI CHANZO ‘UADUI’ WA AFRIKA KUSINI, MAREKANI?

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, alitoa kauli tata aliposema kwa sasa dunia inaendeshwa kidikteta. Kwa wafuatiliaji wa siasa za kimataifa,...
spot_img