ISTANBUL, Uturuki
RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la Ulaya.
Tayyip Erdogan ameyasema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu...
BEIRUT, Lebanon
SAHAU kwa muda kile kinachoendelea kati ya Marekani na Iran. Kwenye kona nyingine ya Mashariki ya Kati, kuna vita vingine vinavyoendelea kwa ukali...
Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...
NEW YORK, Marekani
UTALII ni miongoni mwa sekta muhimu zaidi duniani, ikitajwa kuchangia takribani Dola za Marekani trilioni 11.7 kwenye Pato la Dunia kwa mwaka...
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni.
Hafla hiyo ya uapisho imefanyika...
PANDE zote mbili zinatupiana lawama, kila moja ikiitaja nyingine kukwamisha upatikanaji wa suluhu katika mazungumzo ya amani yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan.
Wawakilishi wa Marekani na...
LOS ANGELES, Marekani
HIVI karibuni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, alitoa kauli tata aliposema kwa sasa dunia inaendeshwa kidikteta.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za kimataifa,...