MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
MWANDISHI WETU
ZANZIBAR:
MSEMAO wa 'mtani hutoki leo' umekuwa maarufu nje ya Uwanja wa Amani, Visiwani Zanzibar ambapo mashabiki mbalimbali wa Yanga na Simba wamekuwa wakitumia...
TANGA
MWANAFUNZI wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Chief Mang'enya iliyopo Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, Abdallah Msenga amefariki dunia baada ya kugongana...
SIMBA wameambulia patupu, baada ya kiungo wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Yahaya Mudathir, kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuendelea...
KOCHA mkuu wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet, ni miongoni mwa makocha watano walioomba kibarua cha kuifundisha timu hiyo, kwa ajili ya msimu...