UBINGWA WA WAVU KUANZA KUSAKWA JULAI 25

Date:

Share post:

MZUNGUKO wa kwanza wa Ligi ya Taifa ya Mpira wa Wavu unatarajiwa kuanza Julai 25, mwaka huu, kwenye viwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Panorama, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania (TVF), Magoti Mtani, alisema maandalizi ya ligi hiyo yanaendelea vizuri.

Mtani alisema timu zitakazopata nafasi ya kushiriki ligi hiyo zitatakiwa kujisajili kwa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

Alisema msimu huu ligi hiyo itakuwa ikionyeshwa moja kwa moja kupitia Azam Media na Youtube, hivyo klabu zinatakiwa ‘kujibradi’ ili timu zao ziweze kuonyesha kiwango ambazo kitawavuta mashabiki wengi viwanjani.

Bingwa mtetezi wa ligi hiyo ni timu ya wanawake na wanaume ya magereza.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

MATUMAINI YAKONEKANA BAADA YA MAREKANI NA IRAN KUPATANISWA NA PAKISTAN

Maafisa wa Pakistan wanatarajia kupatikana kwa “mafaanikio makubwa” katika mazungumzo yanayoendelea kati ya Iran na Marekani kuhusu mpango...

IRAN YAKAMATA WAPELELEZI WA ISRAEL

TEHRAN, IranIMERIPOTIWA kuwa Iran inawashikilia watu wanne waliowataja kuwa ni wapelelezi wa Israel. Taarifa hiyo inakuja wakati huu wawakilisi...

DANGOTE, TRUMP WATAJWA WATU WENYE USHAWISHI ZAIDI DUNIANI

WASHINGTON DC, MarekaniMFANYABIASHARA maarufu Afrika, Aliko Dangote, ni miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi duniani, kwa mujibu wa...

KOCHA ATHUMAN BILALI BILO AFARIKI DUNIA

Mkurugenzi WA kituo cha soka cha bilo football center ilichopo Jiji mwanza KOCHA ATHUMAN BILALI BILO, Afariki dunia. Meneja...