KOCHA ATHUMAN BILALI BILO AFARIKI DUNIA

Date:

Share post:

Mkurugenzi WA kituo cha soka cha bilo football center ilichopo Jiji mwanza KOCHA ATHUMAN BILALI BILO, Afariki dunia.

Meneja WA kituo hicho ELIAS mwachuka , amethibitisha Hilo akisema kituo hicho kimepata pigo kubwa sana kwa kuondokewa na mkurugenzi wao Athuman bilali bilo .

Kwani bilo alikua nichachu ya baadhi ya vijana na naendeleo ya mpira wa miguu TANZANIA

Alishawai kufundisha timu mbakimbali ikiwemo alliance football club.

Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo...

SIKU 100 ZA RAIS MPYA WA VENEZUELA: MABADILIKO NA MASWALI MAPYA

CARACAS, Venezuela BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari...

MAELFU YA FAMILIA SUDAN BADO WAKIMBIA VITA, HALI YA MAISHA YAZIDI KUWA MBAYA

MAELFU ya familia nchini Sudan bado wanalazimika kuyakimbia makazi yao, miji na hata mipaka ya nchi kufuatia vita...

ISRAEL YAENDELEA NA OPERESHEN DHIDI YA HEZBOLLAH NCHINI LEBANON

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Jeshi la nchi yake linaendelea na operesheni dhidi ya wanamgambo wanaoungwa...