MATUMAINI YAKONEKANA BAADA YA MAREKANI NA IRAN KUPATANISWA NA PAKISTAN

Date:

Share post:

Maafisa wa Pakistan wanatarajia kupatikana kwa “mafaanikio makubwa” katika mazungumzo yanayoendelea kati ya Iran na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran, kupitia chanzo kikubwa cha habari cha Al Jazeera wameeleza namba mzungunzo yanvyo endelea .

Matumaini hayo yamekuja wakati ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Pakistan, ukiongozwa na Mkuu wa Jeshi, Asim Munir, ulipowasili mjini Tehran kwa lengo la kuwasilisha ujumbe kutoka Marekani kwa uongozi wa Iran, kwa mujibu wa kituo cha utangazaji cha Press TV cha Iran.

Imeandaliwa na Razaki Mkuluma

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo...

SIKU 100 ZA RAIS MPYA WA VENEZUELA: MABADILIKO NA MASWALI MAPYA

CARACAS, Venezuela BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari...

MAELFU YA FAMILIA SUDAN BADO WAKIMBIA VITA, HALI YA MAISHA YAZIDI KUWA MBAYA

MAELFU ya familia nchini Sudan bado wanalazimika kuyakimbia makazi yao, miji na hata mipaka ya nchi kufuatia vita...

ISRAEL YAENDELEA NA OPERESHEN DHIDI YA HEZBOLLAH NCHINI LEBANON

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Jeshi la nchi yake linaendelea na operesheni dhidi ya wanamgambo wanaoungwa...