MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
CAIRO, Misri
RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kuruhusu Taasisi hiyo kuchunguzwa juu ya tuhuma za rushwa.
Motsepe ameyasema hayo...
LONDON, Uingereza
BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua.
Fury amesema anatamani kurushiana...
CAIRO, Misri
MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa...
KLABU ya Coastal Union, imetangaza kuachana na kocha wake mkuu, Mohammed Muya, kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika mashindano ya Ligi Kuu Tanzania...
KINSHASA, DRC
WAZIRI wa Wizara ya Michezo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Didier Bodimbo, amemtumia ujumbe mzito supastaa wa soka duniani, Cristiano Ronaldo.
Bodimbo...
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kwa kushirikiana na wadau wa utalii na uhifadhi, wamefanya mazoezi ya pamoja (jogging) Aprili 8, 2026 katika Wilaya...