MICHEZO

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

MOTSEPE: CAF ICHUNGUZWE TUHUMA ZA RUSHWA

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kuruhusu Taasisi hiyo kuchunguzwa juu ya tuhuma za rushwa. Motsepe ameyasema hayo...

TYSON FURY ATANGAZA KUMTAKA JOSHUA

LONDON, Uingereza BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua. Fury amesema anatamani kurushiana...

KIGOGO CAF APONDA MOROCCO KUPEWA UBINGWA AFCON 2025

CAIRO, Misri MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa...

COASTAL UNION YAACHANA NA KOCHA MOHAMMED MUYA

KLABU ya Coastal Union, imetangaza kuachana na kocha wake mkuu, Mohammed Muya, kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika mashindano ya Ligi Kuu Tanzania...

WAZIRI WA MICHEZO DRC CONGO AMCHIMBA MKWARA CRISTIANO RONALDO

KINSHASA, DRC WAZIRI wa Wizara ya Michezo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Didier Bodimbo, amemtumia ujumbe mzito supastaa wa soka duniani, Cristiano Ronaldo. Bodimbo...

TANAPA WAPASHA MISULI KUELEKEA SAME UTALII FESTIVAL

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kwa kushirikiana na wadau wa utalii na uhifadhi, wamefanya mazoezi ya pamoja (jogging) Aprili 8, 2026  katika Wilaya...
spot_img