TYSON FURY ATANGAZA KUMTAKA JOSHUA

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza

BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua.

Fury amesema anatamani kurushiana makonde na Joshua baada ya kumalizana na Arslanbek Makhmudov katika pambano la Aprili 11, 2026.

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 37, atamvaa Makhmudov wa Urusi na pambano hilo litapigwa katika Uwanja wa Tottenham jijini London.

Ni pambano la kwanza kwa Fury baada ya miezi 16 ya kuwa nje ya ulingo wa ngumi za kulipwa.

Joshua mwenye umri wa miaka 36, hajapigana tangu alipomtandika Jake Paul katika pambano la Desemba, 2025.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...