MICHEZO

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

SHABIKI KUISHITAKI ARSENAL KWA KUMSABABISHIA ‘STRESS’

KAMPALA, Uganda SHABIKI wa Arsenal raia wa Uganda, Eric Kyama, anajiandaa kuifungulia mashitaka klabu hiyo kwa kile alichodai imemsababishia changamoto za kisaikolojia, hasa huzuni na...

HII HAPA ORODHA YA MAKOCHA WA SOKA MATAJIRI ZAIDI DUNIANI

LONDON, Uingereza SOKA ndiyo mchezo unaopendwa na kufutatiliwa zaidi duniani, hiyo ikisababisha wachezaji na makocha kuishi kifahari kutokana na fedha nyingi wanazovuna. Katika makala haya, hawa...

SHEARER AITABIRIA KIPIGO CHELSEA

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Newcastle United, Alan Shearer, anaamini Manchester City itaibuka na ushindi katika mchezo wao dhidi ya Chelsea. Timu hizo zitaumana kesho Aprili 12,...

SERIKALI YAINGILIA KATI UCHAGUZI WA TOC

Serikali kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, imesitisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) uliokuwa ufanyike Aprili 12, 2026. Uamuzi...

ROBERTSON KUTIMKIA WAPI AKIONDOKA LIVERPOOL?

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya beki wa kushoto Andy Robertson kuthibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu, klabu kadhaa barani Ulaya zimeanza kujipanga kuwania saini...

KINDA WA TANZANIA AJINYOOSHEA NJIA KUKIPIGA ULAYA

Mchezaji chipukizi wa soka kutoka Tanzania center back, Joseph Jr Michael Joseph, anayejulikana zaidi kama JJ, anaendelea kujijengea njia yake katika soka la Ulaya...
spot_img