AS MONACO YAPATA PIGO ZITO, MWAMBA KAAGA RASMI
Beki kijana Kassoum Ouattara ameanza rasmi ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kujiunga na Beşiktaş J.K. akitokea AS Monaco FC. Ouattara anaondoka Monaco baada ya…
Mkusanyiko wa habari
Beki kijana Kassoum Ouattara ameanza rasmi ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kujiunga na Beşiktaş J.K. akitokea AS Monaco FC. Ouattara anaondoka Monaco baada ya…
Klabu ya Al-Ittihad SC imetoa salamu maalum za kumuaga aliyekuwa nahodha wake, Talal Faraj, baada ya kumalizika kwa kipindi chake cha kuitumikia timu hiyo. Kupitia taarifa iliyochapishwa na…
Klabu ya Athletic Club imetangaza rasmi kumuongezea mkataba Mkurugenzi wake wa Masuala ya Soka, Mikel González, ambaye sasa ataendelea kuhudumu katika nafasi hiyo hadi mwaka 2030. Uamuzi huo…
Klabu ya Bayern Munich imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Ismael Saibari kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufikia euro milioni 55. Saibari, ambaye ameonyesha kiwango bora katika…
Klabu ya Tottenham Hotspur ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa viungo wawili, Sandro Tonali na Mateus, katika dirisha hili la usajili. Kwa mujibu wa taarifa…
Klabu ya Al Nassr imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuimarisha kikosi kuelekea misimu ijayo baada ya kutangaza rasmi kukamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Romania, Marius Marin.…
Matokeo ya kufungwa 2-1 na England yanaweza kuumiza, lakini kwa namna DRC Congo walivyocheza, hakuna sababu ya kujiona wameshindwa vibaya. Ukiangalia ubora wa kikosi cha England, tofauti ilikuwa…
Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jürgen Klopp, ameonyesha utayari wa kurejea benchi la ufundi ikiwa atapewa jukumu la kuinoa timu ya taifa ya Ujerumani. Ripoti zinaeleza kuwa, licha ya…
Klabu ya Shabab Belouizdad ya Algeria imemtangaza rasmi kiungo wa kimataifa wa Tunisia, Houssem Tka, kuwa mchezaji wake mpya ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu wa 2026/2027.…
Baada ya kumalizika kwa mashindano ya Kombe la Dunia, kiungo mshambuliaji wa Bayern Munich, Michael Olise, anatarajiwa kukutana na viongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kujadili mustakabali…