MICHEZO

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

JOHN TERRY AFUATA NYAYO ZA DAVID BECKHAM, ANUNUA KLABU YA COLCHESTER UNITED

LONDON, Uingereza BEKI na nahodha wa zamani wa klabu ya Chelsea, John Terry, ameinunua klabu ya Colchester United inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini England...

TOTTENHAM MAJANGA TUPU MSIMU HUU EPL, IKICHAPWA NA SUNDERLAND

BAADA ya kufungwa bao 1-0 na Sunderland, ni wazi Tottenham inaelekea kushuka Daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Kichapo hicho ni mwendelezo...

JE MIKEL ARTETA AMEKALIA KUTI KAVU ARSENAL?

LONDON, UingerezaIMEFICHUKA kuwa mabosi wa Arsenal wameanza kusaka mrithi wa kocha wa sasa, Mikel Arteta. Ripoti zinaeleza kuwa mabosi wa Arsenal hawatovumilia endapo timu yao...

CHERKI WA MAN CITY AWEKA REKODI

MANCHESTER, Uingereza ‘ASISTI’ zake katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea zimemfanya kiungo wa Manchester City, Rayan Cherki, kuweka rekodi mpya Ligi Kuu England...

TFF NA BMT KUIMARISHA VYAMA VYA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

fisa Masoko wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bi. Hannah Kassimoto, mwishoni mwa wiki iliyopita alikutana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira...

KINDA WA SOKA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

ACCRA, Ghana NYOTA wa kabumbu mwenye umri wa miaka 20 nchini Ghana ameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia na kulishambulia kwa risasi basi la timu...
spot_img