CHERKI WA MAN CITY AWEKA REKODI

Date:

Share post:

MANCHESTER, Uingereza

‘ASISTI’ zake katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea zimemfanya kiungo wa Manchester City, Rayan Cherki, kuweka rekodi mpya Ligi Kuu England (EPL).

Man City ikiwa ugenini Stamford Bridge, ilipata ushindi huo, hivyo kubakiza pointi sita kuifikia Arsenal iliyoko kileleni mwa msimamo.

Cherki ndiye aliyepiga asisti katika mabao mawili, wafungaji wakiwa ni Nico O’Reilly na Marc Guehi. Bao jingine lilipachikwa na Jeremy Doku.

Anakuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya EPL kufikisha asisti 10 katika msimu wake wa kwanza EPL tangu Dimitri Payet alipofanya hivyo msimu wa 2015-16.

Kiungo mshambuliaji huyo alijiunga na Man City mwaka jana akitokea Lyon ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).

Imeandaliwa na Hassan Mwasha

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...