TOTTENHAM MAJANGA TUPU MSIMU HUU EPL, IKICHAPWA NA SUNDERLAND

Date:

Share post:

BAADA ya kufungwa bao 1-0 na Sunderland, ni wazi Tottenham inaelekea kushuka Daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).

Kichapo hicho ni mwendelezo wa hali mbaya waliyonayo, ambayo haijashinda mechi yoyote ya Ligi tangu mwaka 2026 uanze.

Zikiwa zimebaki mechi sita pekee msimu kuisha, Spurs iko juu ya mstari wa kushuka daraja kwa tofauti ya pointi mbili pekee.

Vijana hao wa Kaskazini mwa London wataivaa Brighton wikiendi ijayo, kabla ya kukipiga na Wolves mwishoni mwa mwezi huu.

Je, kocha mpya, Roberto De Zerbi, atainusuru timu hiyo na janga la kushuka daraja?

Imeandaliwa na Hassan Mwasha

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...