JE MIKEL ARTETA AMEKALIA KUTI KAVU ARSENAL?

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza
IMEFICHUKA kuwa mabosi wa Arsenal wameanza kusaka mrithi wa kocha wa sasa, Mikel Arteta.

Ripoti zinaeleza kuwa mabosi wa Arsenal hawatovumilia endapo timu yao itaambulia patupu msimu huu.

Arsenal iko kwenye mbio za kuwania mataji makubwa mawili; Ligi Kuu na Ligi ya Mabingwa.

Kwa upande wa Ligi ya Mabingwa, tayari timu hiyo iko robo fainali, wakati inaongoza kwa pointi sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL).

Ikumbukwe, Arsenal walikuwa na nafasi nzuri ya kutwaa Kombe la Ligi (EFL Cup) lakini walifungwa mabao 2–0 na Southampton katika mchezo wa fainali.

Imeandaliwa na Hassan Mwasha

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

MKUU WA WILAYA APOKEA TIMU YA WATAALAMU WA KODI KUTOKA TRA

Mkuu wa Wilaya amepokea ujio wa timu maalum ya wataalamu wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

WATUMISHI WAPYA WA OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Watumishi wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na uzalendo ili kufanikisha...

WACHIMBAJI WA MADINI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI UKUSANYAJI MAPATO

KAIMU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Mary Kanumba, amewataka wachimbaji wa madini katika eneo la Londoni...

XI JINPING AKUTANA NA SHEIKH MOHAMMED BIN ZAYED KUIMARISHA USHIRIKIANO WA CHINA NA UAE

Beijing, China Rais wa China, Xi Jinping, amekutana na Mwenyekiti wa Abu Dhabi na Rais wa Falme za Kiarabu...