MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
RIPOTA WA WAZIRI MKUU
SERIKALI imewaruhusu wanafunzi 28,000 waliokidhi vigezo vya kupata mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2022/2023 lakini hawajapangiwa kupata mikopo kwenda...
RIPOTA PANORAMA, ARUSHA
RUBANI Mstaafu wa Shirika la Ndege la India, Dennis Masha Wekesa anakusudia kuiburuza mahakamani Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya jumuiya...
RIPOTA PANORAMA
SAKATA linalotokota chini kwa chini kwa muda mrefu sasa linalohusu Kampuni ya Symbion Power LLC kulipwa na Serikali, Shilingi bilioni 350 huku ikiwa...
RIPOTA PANORAMA
MAMLAKA ya Mapato (TRA) imesema mazao ya chakula yanayosafirishwa kutoka nchini kwenda kuuzwa nje ya nchi hayatozwi kodi ya aina yoyote na mamlaka...
RIPOTA PANORAMA
MIILI ya watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Precision Air iliyotumbukia Ziwa Victoria jana asubuhi inatarajiwa...
RIPOTA PANORAMA
MKUU wa Mkoa wa Iringa, Halima Dendego amewataka wakazi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za utalii kufuatia Kongamano la Kimataifa la Utalii litakalofanyika...