Uncategorized

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya vigogo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City. Kwa sasa, Leicester...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...

NEWCASTLE KUMUUZA MSHAMBULIAJI WA BEI MBAYA

LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa,...
spot_img

MADIWANI WA CHADEMA WAFICHWA

RIPOTA MAALUMU MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wakitajwa kuwa na nia ya kukihama chama hicho kwenda kujiunga na Chama Cha Mapinduzi...

TFF NI KISASI AU UFISADI

RIPOTA - 0711 46 49 84 MJADALA mpya umeibuka nchini baada ya Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura kuadhibiwa kutojihusisha...

TFF YAGAWA NOTI KWA WAHARIRI WA MICHEZO

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu (TFF), jana liligawa mamilioni ya Shilingi kwa wahariri wa michezo wa vyombo mbalimbali...

‘TFF KUGAWA NOTI NI KAWAIDA’

RIPOTA PANORAMA - 0711 46 49 84 IMEELEZWA kuwa Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF) kuwagawia noti waandishi wa habari kila linapowaita kuandika Habari za shirikisho...

SIMBA, FISI WALISHWA SUMU

RIPOTA PANORAMASIMBA sita na Fisi zaidi ya 100 wamekufa baada ya kulishwa simu iliyowekwa kwenye nyama pembezoni mwa Hifadhi ya Ruaha. Pamoja na wanyama hao,...

‘WANASIASA MWACHENI AKWILINA APUMZIKE KWA AMANI’

RIPOTA PANORAMA WANASIASA wameonywa kuutumia kisiasa msiba wa mwanafunzi Akwilina Akwilini na badala yake wametakiwa kumuacha apumzike kwa amani. Akwilina aliuawa mwezi uliopita baada ya kupigwa...
spot_img