MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwa na dawa...
*Kayanga ni miongoni mwa miji 28 iliyonufaika na sh. tril. 1.2 za miradi hiyo NA MWANDISHI WETU MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha...
NA MWANDISHI WETU CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeshutumiwa kuhusika moja kwa moja na tukio la mauaji ya kinyama ya kijana Bryan Mollel....
NA MWANDISHI WETU MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema serikali imedhamiria kuhakikisha kilimo kinamnufaisha mkulima...
NA MWANDISHI WETU CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kutoa kivuko kipya kwa wananchi wa kisiwa cha Gana, kilichopo Kata ya Ilangala, wilayani Ukerewe. Ahadi...
NA PIUS NTIGA, SAME KIWANDA cha kuchakata zao la Tangawizi kilichopo Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro kitaanza kuchakata zao Novemba mwaka huu baada ya...