Uncategorized

JELA MIAKA 30 KWA KUPATIKANA NA BANGI

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwa na dawa...

DUTERTE KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC

MANILA, Ufilipino JOPO la majaji watatu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) limethibitisha kuwa Rais wa zamani wa...

WRIGHT: RICE APEWE BALLON D’OR

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka...

ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano. Wakati...

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...
spot_img

MAKACHERO WANAOCHUNGUZA KASHFA YA UNYANYASAJI KINGONO WALALAMIKIWA

 NA MWANDISHI WETU MLALAMIKA katika shauri la madai ya kunyanyaswa kingono (jina limehifadhiwa) amewaelekezea lawama makachero wa polisi wa Kituo cha Chang'ombe wanaochunguza shauri...

WAZAZI WA MWANAFUNZI ALIYEPOTEA ST MARY’S WADAI KUPEWA SIRI NYETI NA MKUU WA SHULE

 NA MWANDISHI WETU WAZAZI wa mwanafunzi aliyepotea tangu Oktoba 4, 2020 Labna Salim Said wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Bweni...

MWANASHERIA BAKHRESA ALISIMAMIA MKATABA WA KASHFA YA UNYANYASAJI WA KINGONO

 NA MWANDISHI WETU MKATABA wa kuvunja uhusiano binafsi wa wapenzi wawili unaodaiwa kughubikwa na vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kingono uliandaliwa na kusainiwa...

JESHI LA POLISI LASUBIRI UCHUNGUZI WA SIMU TUHUMA ZA UNYANYASAJI WA KINGONI SSB

 NA CHARLES MULLINDA JESHI la Polisi linasubiri uchunguzi wa kitaalamu wa simu za mkononiza Idi Mzee na mpenzi wake wa kike (jina limehifadhiwa) anayemtuhumu...

KAMPUNI YA BAKHRESA YATIKISWA YA KASHFA YA UNYANYASAJI KINGONO

 NA CHARLES MULLINDA KAMPUNI ya vinywaji ya Mfanyabiashara Bilionea, Said Salim Bakhresa (SSB) imeanza kuandamwa na kashfa za unyanyasaji wa kingono unaodaiwa kufanywa na...

MAJALIWA AKABIDHIWA CHETI YA UBUNGE RUANGWA

 MBUNGE Mteule wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa akipokea cheti cha ushindi wa ubunge wa Jimbo la Ruangwa kutoka kwa msimamizi mkuu wa uchaguzi...
spot_img