Uncategorized

JELA MIAKA 30 KWA KUPATIKANA NA BANGI

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwa na dawa...

DUTERTE KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC

MANILA, Ufilipino JOPO la majaji watatu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) limethibitisha kuwa Rais wa zamani wa...

WRIGHT: RICE APEWE BALLON D’OR

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka...

ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano. Wakati...

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...
spot_img

KAMANDA BUKOMBE AONDOLEWA KINONDONI, APELEKWA MAKAO MAKUU

 Kamanda BukombeNA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni (RPC), Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Edward Bukombe, amehamishwa kituo chake cha...

WAZABUNI WANAOIDAI TEMESA WAOMBA MSAADA WA WAZIRI MKUU

 Waziri Mkuu, Kassin MajaliwaNA MWANDISHI WETU WAZABUNI waliosambaza vipuli na kutengeneza magari ya Wizara na Idara za Serikali kupitia Karakana Kuu ya Temesa -...

ANAYETUHUMIWA KUMTOROSHA MWANAFUNZI ST MARY'S MBARONI

Labna NA MWANDISHI WETU MAKACHERO wa Jeshi la Polisi wamemkamata Rahim Nyamka kwa tuhuma za kumtorosha na kumuachisha masomo, mwanafunzi Labna Said Salim anayesoma kidato...

WALIOFICHA SARUJI KUSAKWA MKOA KWA MKOA

 Waziri Mkuu, Kassin Majaliwa*Waziri Mkuu Majaliwa awaagiza MA RC kuwakagua mawakala, wauzaji wa kati na wadogo NA MWANDISHI MAALUM SERIKALI sasa imeanza kuchukua hatua...

MSAKO WA LABNA WA ST MARY'S WAIBUA MADUDU YA KUTISHA, SHAMBA LA BANGI LABAINIKA NYUMBANI KWA KAMISHNA

 Mwanafunzi Labna NA MWANDISHI WETU TIMU ya maafisa wanne waandamizi wa serikali iliyoundwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo kumsaka mwanafunzi wa kidato cha...

SERIKALI YAANZA KUMSAKA MWANAFUNZI WA ST. MARY’S ALIYEPOTEA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel ChongoloNA MWANDISHI WETU HATIMAYE serikali imeanzisha msako mkali wa mwanafunzi Labna Salim Said wa kidato cha tatu katika...
spot_img